TABIBU LEO ALHAMISI 26. FEBUARI. 2014 LIPO MTAANI LIKIWA NA HABARI MOTOTO, MAKALA, HADITHI ZA KUSISIMUA.
YOTE HAYO NI KWA SH. 500/= TU.
PATA NAKALA YAKO POPOTE ULIPO TANZANIA
FAHAMU YALIYOJIRI KATIKA MICHEZO KUTOKA KILA PEMBE YA DUNIA
Monday, February 16, 2015
TABIBU, ALHAMISI,11/2/2014, LIKIWA LIMESHEHENI HABARI KEMKEM KWA SHS 500/= TU.
NA KATIKA MICHEZO AVORY COAST BINGWA AFCON MSIMU HUU
Thursday, February 5, 2015
Leo Alhamisi 5/02/2014 TABIBU lipo mtaani kwa 500/= TU, likiwa na habari lukuki za Afya, Michezo na burudani bila kusahau Makala kutoka kwa waandishi mahiri na wataalam wa Afya waliobobea.
Michezo ni Afya.
Wednesday, January 28, 2015
Hii ni Kiboko ya U.T.I
NaKennedy Chaya dar
UNAPOZUNGUMZIA U.T.I si jambo masikioni mwa watu
wengi,lakini ukweli ni kwamba neno hilo ni kifupi cha neno Urinary Tract Infection ikiwa na maana ya maambukizikatika njia ya mkojo,ambayo husababisha
bacteria aitwaye Coli.