Tabibu Tv

Tabibu Tv

EBOLA BBC NEWS

Wednesday, January 28, 2015

Hii ni Kiboko ya U.T.I

Na  Kennedy Chaya dar
UNAPOZUNGUMZIA U.T.I si jambo masikioni mwa watu wengi,lakini ukweli ni kwamba neno hilo ni kifupi cha neno Urinary Tract Infection ikiwa na maana ya maambukizi  katika njia ya mkojo,ambayo husababisha bacteria aitwaye Coli.

Thursday, January 22, 2015

Gazeti lako pekee la afya leo liko mtaani likiwa na habari lukuki, usikose kupata nakala yako popote ulipo kwa sh. 500?=
Michezo ni Afya.

Thursday, January 15, 2015

Gazeti lako pendwa leo Alhamisi 15, 2014, lipo mtaani likiwa na Habari kem kem, Usikose kupata nakala yako kwa Sh. 500/=.
Popote ulipo tupo.
Na katika Michezo tupo.


Friday, December 19, 2014

Jinsi ya kupika wali wa nazi
KARIBU mpenzi msomaji wa gazeti la TABIBU. Katika safu hii ya mapishi, leo nitawaelekeza jinsi ya kupika wali wa nazi.

Wali ni chakula kinachopendwa sana na watu wa pwani hususani wali wa nazi. Hiki ni chakula kinachopendwa sana na wakubwa na watoto.
Utagunduaje maabukizi kwenye uzazi (Diagnosis of PID)


Na Dk. Fadhily Emily
Kama tulivyokwisha katika makala zilizopita katika safu hii dalili za maambukizi kwenye viungo vya uzazi kwa mwanamke kama vile kutokwa uchafu sehemu za siri, homa, maumivu chini ya kitovu, kutokwa na hedhi bila mpangilio,
Fahamu kuhusu ugonjwa wa Kaswende - 1

Na Abdallah Juma

Ugonjwa wa kaswende ni ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya ‘Treponema pallidum’.

Ugonjwa huu ni kati ya magonjwa ya zinaa yanayoongoza kwa kusababisha madhara mengi.

Ndizi na faida zake kiafya

Na Zamda Haroun

Ndizi ni tunda muhimu Afrika Mashariki na katika nchi za joto na hasa katika visiwa vya Caribbean. Mmea wake huitwa mgomba katika nchi za Afrika Mashariki.
Tunda hili ambalo lina asili ya kusini mwa Asia huonekana na rangi nzuri na mara nyingi tumezoea kuliona shambani au maeneo ya sokoni na limeonekana kuwa na faida nyingi kiafya.